Tuesday, February 22, 2011

Maalim Seif Shariff Hamad Ziarani UAE


Makamu wa Rais wa Zanzibar Mh. Seif Shariff Hamad na ujumbe wake wakiwa na Balozi wetu katika falme za Kiarabu Mh. Mohamed Maharage (wa pili kulia) akifuatiwa na naibu wake wakati walipompeleka mheshimiwa kwenye maonesho ya Global Village mjini Dubai leo

No comments:

Post a Comment